Makinga Maji KUONGOA MANDHARI YA ARDHI


KWANINI TUNACHIMBA
MAKINGA MAJI
Makinga maji (au kama tunavyopenda kuyaita: "tabasamu la dunia") ni mashimo yenye umbo la nusu duara lenye kuvuna maji ya mvua.
Yanachimbwa katika maeneo yetu ya mradi barani Afrika ili kuvuna maji ya mvua ambayo vinginevyo yatapita juu ya ardhi kavu, tasa. Kwa kuchimba makinga maji, tunaweza kukijanisha eneo kubwa kwa muda mfupi sana, kufaidika kwa bioanuwai, asili, watu na – mwishowe hali ya hewa yetu. Jifunze yote juu ya makinga maji!
KUKUZA TENA
UOTO WA ASILI: JINSI INAVYOFANYA KAZI
Kwa kuvuna maji ya mvua kwa usaidizi wa makinga maji, yanakuwa na muda zaidi wa kuingia kwenye udongo. Ulinganifu wa maji hurejeshwa, na maji zaidi yanapatikana kwenye mbegu zilizopo kwenye udongo. Mbegu hizi sasa zinapata fursa ya kuchipua, ambayo ina maana: kukijanisha! Wakati mwingine tunatoa mchakato wa kukijanisha kwa kushinikiza kidogo, kwa kupanda mbegu za ziada ndani ya makinga maji. Kwa njia hii eneo linaweza kurejeshwa vizuri zaidi!
JINSI GANI MAKINGA MAJI YANAVYO KIJANISHA ENEO
KWANINI MAKINGA MAJI YA NUSU MWEZI?
FAIDA ZA KUKIJANISHA
NUNUA MAKINGA MAJI YAKO!
Unataka kuwekeza katika sayari yenye baridi zaidi? Nunua tabasamu lako mwenyewe la ardhi! Kwa kununua tabasamu la ardhi, unahakikisha kuwa unafanya kijani kibichi tena na unamuunga mkono moja kwa moja mkulima wa Kiafrika anayechimba tabasamu la dunia. Vipi? Nenda kwenye ukurasa uliounganishwa hapa chini na uchague idadi ya tabasamu za ardhi ambazo ungependa kuchimba. Tabasamu la dunia linagharimu €8.